-->

FULL HD: Sababu za Babu na Bibi kufunga ndoa Geita wakiwa na miaka zaidi ya 90

GUSA HAPA CHINI KUPLAY VIDEO

FULL HD: Sababu za Babu na Bibi kufunga ndoa Geita wakiwa na miaka zaidi ya 90


AyoTVna millardayo.com zimezungumza na Wazee wenye umri zaidi ya miaka 90 walioamua kufunga Ndoa huko Geita Tanzania, nini hasa kimetokea mpaka wakachelewa kiasi hicho? mapenzi yao yalivyoanza yalikuaje? mapenzi ya sasa ya vijana wanayaonaje? bonyeza play hapa chini kuipata full story
Share :
Facebook Twitter Google+

 
Back To Top